Powered By Blogger

Translate

Wednesday, July 3, 2013

KWELI TANZANIA KUNA AMANI YA KUDUMU?



Wasomaji wangu ni matumaini yangu muu wazima wa afya na mnaendelea vyema na majukumu mbalimbali  ya kujenga taifa na jamii zetu kiujumla.
          Watanzania tumeendelea kuishi kwa amani na furaha huku tukishuhudia ujio wa wakuu wa nchi mbalimbali kuba hapa duniani.Tumeona raisi wa China akiwasili nchini na pia raisi wa Marekani pia amefika nchini na msafara mkubwa. Wote wa hao wamepongeza utawala uliopo tanzania na amani iliyopo.Watawala wa Tanzania wamebaki wakijisifu kwamba wamedumisha utawala bora pengine kuliko nchi nyingine za Afrika.
           Ni wakati wetu watanzania kujiuliza je ni kweli kuna amani ya kudumu Tanzania? Na pia je kuna utawala bora Tanzania?.Haya maswali magumu hayaweyi kujibiwa na viongoyi walioko madarakani bali ni kwa sisi wananchi wa Tanzania kwa kutoa maoni na fikra  zetu.
       Tukianza na utawala bora,mtu akisema utawala bora ina maana ya utawala unaofuata sheria na misingi uongozi na sheria na kanuni za nchi husika.Kwa ripoti mbalimbali na matukio yanayoendelea Tanzania hatuwezi kusema kuna utawala bora nchini.Ufisadi umekua kama hulka  ya viongozi wetu kama ule wa Richmond na dowans ,rada feki naule wa majengo pacha ya BOT.Pia kuna ufisadi na ruswa iliyokisiri katika mahakama zetu,polisi na ngazi mbalimbali za uongozi hapa Tanzania.
             Licha ya ufisadi pia kuna suala la watu kutungiwa kesi za uongo,watu kufungwa muda mrefu bila kufunguliwa mashitaka na matendo mbalimbali ya kupeana ajira na huduma kwa kujuana na ucheleweshaji wa makusudi wa huduma kwa wale raia wenye kipato cha chini.Ni waji bu wa wananchi kupigana kupinga utawala mchafu usio jili matakwa ya wengi
        Kikubwa tulichonacho ni kuendelea kumshukuru mungu kwa kuendelea kutupa amani kwa zaidi ya miaka hamsini sasa.Watanzania wamekuwa wavumilivu na kuendelea kuendelea kutunza amani kwa nguvu zote.Swali linakuja na kuuliza amani hii itadumu mpaka lini?.je watanzania wataendelea kuwa wavumilivu mpaka lini?.Mikono ya sheria imewaona wanao jaribu kuvunja amani kwa nguvu zote?
               Tumeona matukio mbalimbali kama kuuwawa kwa padre kule Zanzibar,bomu kanisani Arusha,Mauaji yaliyo fanywa na polici Arusha,maandamano kule Mtwara na harakati za shehe Ponda.Je haya yote yatanusuru amani iliyopo nchini?.Je ni viashiria tosha vya kutokua na amani mwaka 2015.
          Matatizo yanayoendelea Brazil na Misri yamesababishwa na hali ngumu ya maisha na pia utawala usiojali kama wetu hapa Tanzania.Hivi ni viashiria tosha kwamba kuna kuanguka katika matatizo makubwa siku zijazo.
             Ni rai yangu kwa viongozi wetu kutafuta njia muafaka mapema kuondoa matatizo yaliyoko nchini mapema ili kuepusha taifa kutumbukia mahala pabaya.Ni jukumu la wabunge bila kujali itikadi zao kupambana kikamilifu kuishurutisha serikali iliyopo kulinda amani na kujali masilai ya walio wengi.

KWELI TANZANIA KUNA AMANI YA KUDUMU?



Wasomaji wangu ni matumaini yangu muu wazima wa afya na mnaendelea vyema na majukumu mbalimbali  ya kujenga taifa na jamii zetu kiujumla.
          Watanzania tumeendelea kuishi kwa amani na furaha huku tukishuhudia ujio wa wakuu wa nchi mbalimbali kuba hapa duniani.Tumeona raisi wa China akiwasili nchini na pia raisi wa Marekani pia amefika nchini na msafara mkubwa. Wote wa hao wamepongeza utawala uliopo tanzania na amani iliyopo.Watawala wa Tanzania wamebaki wakijisifu kwamba wamedumisha utawala bora pengine kuliko nchi nyingine za Afrika.
           Ni wakati wetu watanzania kujiuliza je ni kweli kuna amani ya kudumu Tanzania? Na pia je kuna utawala bora Tanzania?.Haya maswali magumu hayaweyi kujibiwa na viongoyi walioko madarakani bali ni kwa sisi wananchi wa Tanzania kwa kutoa maoni na fikra  zetu.
       Tukianza na utawala bora,mtu akisema utawala bora ina maana ya utawala unaofuata sheria na misingi uongozi na sheria na kanuni za nchi husika.Kwa ripoti mbalimbali na matukio yanayoendelea Tanzania hatuwezi kusema kuna utawala bora nchini.Ufisadi umekua kama hulka  ya viongozi wetu kama ule wa Richmond na dowans ,rada feki naule wa majengo pacha ya BOT.Pia kuna ufisadi na ruswa iliyokisiri katika mahakama zetu,polisi na ngazi mbalimbali za uongozi hapa Tanzania.
             Licha ya ufisadi pia kuna suala la watu kutungiwa kesi za uongo,watu kufungwa muda mrefu bila kufunguliwa mashitaka na matendo mbalimbali ya kupeana ajira na huduma kwa kujuana na ucheleweshaji wa makusudi wa huduma kwa wale raia wenye kipato cha chini.Ni waji bu wa wananchi kupigana kupinga utawala mchafu usio jili matakwa ya wengi
        Kikubwa tulichonacho ni kuendelea kumshukuru mungu kwa kuendelea kutupa amani kwa zaidi ya miaka hamsini sasa.Watanzania wamekuwa wavumilivu na kuendelea kuendelea kutunza amani kwa nguvu zote.Swali linakuja na kuuliza amani hii itadumu mpaka lini?.je watanzania wataendelea kuwa wavumilivu mpaka lini?.Mikono ya sheria imewaona wanao jaribu kuvunja amani kwa nguvu zote?
               Tumeona matukio mbalimbali kama kuuwawa kwa padre kule Zanzibar,bomu kanisani Arusha,Mauaji yaliyo fanywa na polici Arusha,maandamano kule Mtwara na harakati za shehe Ponda.Je haya yote yatanusuru amani iliyopo nchini?.Je ni viashiria tosha vya kutokua na amani mwaka 2015.
          Matatizo yanayoendelea Brazil na Misri yamesababishwa na hali ngumu ya maisha na pia utawala usiojali kama wetu hapa Tanzania.Hivi ni viashiria tosha kwamba kuna kuanguka katika matatizo makubwa siku zijazo.
             Ni rai yangu kwa viongozi wetu kutafuta njia muafaka mapema kuondoa matatizo yaliyoko nchini mapema ili kuepusha taifa kutumbukia mahala pabaya.Ni jukumu la wabunge bila kujali itikadi zao kupambana kikamilifu kuishurutisha serikali iliyopo kulinda amani na kujali masilai ya walio wengi.

KWELI TANZANIA KUNA AMANI YA KUDUMU?



Wasomaji wangu ni matumaini yangu muu wazima wa afya na mnaendelea vyema na majukumu mbalimbali  ya kujenga taifa na jamii zetu kiujumla.
          Watanzania tumeendelea kuishi kwa amani na furaha huku tukishuhudia ujio wa wakuu wa nchi mbalimbali kuba hapa duniani.Tumeona raisi wa China akiwasili nchini na pia raisi wa Marekani pia amefika nchini na msafara mkubwa. Wote wa hao wamepongeza utawala uliopo tanzania na amani iliyopo.Watawala wa Tanzania wamebaki wakijisifu kwamba wamedumisha utawala bora pengine kuliko nchi nyingine za Afrika.
           Ni wakati wetu watanzania kujiuliza je ni kweli kuna amani ya kudumu Tanzania? Na pia je kuna utawala bora Tanzania?.Haya maswali magumu hayaweyi kujibiwa na viongoyi walioko madarakani bali ni kwa sisi wananchi wa Tanzania kwa kutoa maoni na fikra  zetu.
       Tukianza na utawala bora,mtu akisema utawala bora ina maana ya utawala unaofuata sheria na misingi uongozi na sheria na kanuni za nchi husika.Kwa ripoti mbalimbali na matukio yanayoendelea Tanzania hatuwezi kusema kuna utawala bora nchini.Ufisadi umekua kama hulka  ya viongozi wetu kama ule wa Richmond na dowans ,rada feki naule wa majengo pacha ya BOT.Pia kuna ufisadi na ruswa iliyokisiri katika mahakama zetu,polisi na ngazi mbalimbali za uongozi hapa Tanzania.
             Licha ya ufisadi pia kuna suala la watu kutungiwa kesi za uongo,watu kufungwa muda mrefu bila kufunguliwa mashitaka na matendo mbalimbali ya kupeana ajira na huduma kwa kujuana na ucheleweshaji wa makusudi wa huduma kwa wale raia wenye kipato cha chini.Ni waji bu wa wananchi kupigana kupinga utawala mchafu usio jili matakwa ya wengi
        Kikubwa tulichonacho ni kuendelea kumshukuru mungu kwa kuendelea kutupa amani kwa zaidi ya miaka hamsini sasa.Watanzania wamekuwa wavumilivu na kuendelea kuendelea kutunza amani kwa nguvu zote.Swali linakuja na kuuliza amani hii itadumu mpaka lini?.je watanzania wataendelea kuwa wavumilivu mpaka lini?.Mikono ya sheria imewaona wanao jaribu kuvunja amani kwa nguvu zote?
               Tumeona matukio mbalimbali kama kuuwawa kwa padre kule Zanzibar,bomu kanisani Arusha,Mauaji yaliyo fanywa na polici Arusha,maandamano kule Mtwara na harakati za shehe Ponda.Je haya yote yatanusuru amani iliyopo nchini?.Je ni viashiria tosha vya kutokua na amani mwaka 2015.
          Matatizo yanayoendelea Brazil na Misri yamesababishwa na hali ngumu ya maisha na pia utawala usiojali kama wetu hapa Tanzania.Hivi ni viashiria tosha kwamba kuna kuanguka katika matatizo makubwa siku zijazo.
             Ni rai yangu kwa viongozi wetu kutafuta njia muafaka mapema kuondoa matatizo yaliyoko nchini mapema ili kuepusha taifa kutumbukia mahala pabaya.Ni jukumu la wabunge bila kujali itikadi zao kupambana kikamilifu kuishurutisha serikali iliyopo kulinda amani na kujali masilai ya walio wengi.