Powered By Blogger

Translate

Sunday, August 5, 2012

Siasa hii

Kwa kuzuia mikutano ya vyama kutatujenga au kutubomoa.Mikutano ya chadema kila siku inafutwa.Mikutano ya kuelimisha wananchi ndio inapingwa.Kwa hali hii itakuza siasa na uelewa kwa wananchi?

No comments: