Powered By Blogger

Translate

Saturday, July 28, 2012

Maskini Tanzania

Tunaishi kwenye nchi yenye utajiri mkubwa kama madini,vivutio vya utalii,aridhi yenye rutuba,maziwa makuu,bahari,na vinginevyo lakini bado uongozi mbaya, na kukosa elimu kuna tufanya maskini.Tujiunge pamoja kuleta mabadiliko kwe nchi yetu

No comments: